<sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>
  • 免费a级毛片出奶水在线,18禁无遮拦无码国产在线播放 ,2020国产午夜福利久久,成年女人毛片免费观看中文

    Rais wa China atuma barua ya pongezi kwa Jukwaa la Maendeleo ya Kijani la Nchi wanachama wa SCO

    (CRI Online) Julai 08, 2024

    Rais Xi Jinping wa China ametuma barua ya pongezi kwa Jukwaa la Maendeleo ya Kijani la Nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) ambalo limefunguliwa leo Jumatatu kwenye mji wa Qingdao katika Mkoa Shandong, China.

    Katika barua hiyo, Rais Xi amesema kulinda mazingira ya kiikolojia na kuhimiza maendeleo ya kijani, ni maoni ya pamoja ya nchi wanachama wa SCO.

    Amesema, katika miaka ya hivi karibuni, China imekuwa ikishikilia kithabiti dhana ya kuzingatia usafi wa mazingira, na kufuata bila kuyumbayumba njia ya maendeleo mazuri inayojumuisha kuboreshwa kwa uzalishaji viwandani, maisha yenye ubora wa juu na mazingira mazuri ya ikolojia, ikisababisha mafanikio makubwa katika ujenzi wa China Nzuri.

    Rais Xi pia amesema China inatumaini itaimarisha mawasiliano na ushirikiano katika nyanja ya maendeleo ya kijani na pande zote husika kupitia jukwaa hilo, ili kuwezesha maendeleo endelevu ya kiuchumi na kijamii ya nchi zote wanachama na kuhimiza kuishi pamoja kwa mapatano kati ya binadamu na mazingira asili.

    (Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

    Picha

    免费a级毛片出奶水在线
    <sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>